
Tuesday, June 29, 2010
Viongozi wa Tawi la CCM Helsinki-Finland Katika Picha

Sunday, June 27, 2010
MKUTANO WA UCHAGUZI NA UZINDUZI TAWI LA CCM HELSINKI
TUNAPENDA KWATANGAZIA KUWA UZINDUZI WA TAWI LA CCM HELSINKI-FINLAND UMEFANA SANA, NA VIONGOZI WAFUATAO WAMECHAGULIWA KUWA VIONGOZI WAPYA WA TAWI HILI JIPYA
1. Mwenyekiti wa Tawi- Mzee Mataluma Miraji – Mzee kada wa siku nyingi
2. Makamu Mwenyekiti wa Tawi Ndugu William S. Kirita kijana safi wa chama
3. Katibu Mkuu wa Tawi Ndugu Ndugu, Che Guevara Mwakanjuki Kada mzoefu wa chama
4. Mweka Hazina wa Tawi Ndugu Stella Neri Porvali ( Mama- kada wa Helsinki)
Wafuatao ni wajumbe wa Halmashauri kuu ya Tawi na Kamati Mbali mbali
1. Mzee Bonanza Ngereza- ( Mzee wa chama , a.k.a Kingunge wa Helsinki)
2. Ndugu Aliko Mwakanjuki- Kada na kamanda wa CCM Helsinki
3. Ndugu Simon Kitururu – mpiganaji wa chama
4. Ndugu, Erick Makundi - Kamanda wa burudani CCM (a.k.a komba wa Helsinki)
5. Ndugu, Deveno Donald- kada damu mpya
6.Ndugu, Edwini Gwagilo –Kada damu mpya
7. Ndugu, Hassan Omary-Kada damu mpya
8. Ndugu, Dada Alinda Bahendwa-mdau mpya wa chama
9.Ndugu, Dada Elizabert Minja-mdau mpya wa chama
10.Ndugu John Mwazembe –kada damu mpya
Kuna wajumbe wengine wanne wanasubiri baraka za kikao cha kwanza cha viongozi wa tawi.
ANGALIZO: Maneno ya muasisi wa CCM,Baba wa Taifa-Nyerere: ’’Mambo ya uongozi bila baraka za wazee hayaendi’’ hii ndiyo siri ya ushindi wa kishindo(99 % ya kura zote) kwa mzee Miraji, mwenyekiti wa kwanza wa Tawi la CCM-Helsinki-Finland-wadau tumpe ushirikiano kwa maendeleo ya tawi, Tanzania na dunia kwa ujumla.